Friday 10 May 2013

WIZARA YA ELIMU YATOA UFAFANUZI KUHUSU ZOEZI ZIMA LA KUYAPITIA UPYA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE

 
UFAFANUZI KUHUSU KUPITIWA UPYA KWA MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE MWAKA 2012


Mnamo tarehe 03 Mei, 2013 Serikali kupitia Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Mheshimiwa Wiliam Lukuvi (Mb) ilitoa Kauli ya Serikali Bungeni Kuhusu Taarifa ya Awali ya Tume ya Taifa ya Kuchunguza Sababu za kushuka kwa ufaulu wa Mtihani wa Kidato cha Nne Mwaka 2012.

Kauli ya Serikali ilielekeza kuwa matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne mwaka 2012 yafutwe na yaandaliwe upya kwa kutumia utaratibu uliotumika mwaka 2011 ili Wanafunzi hao wawe katika mazingira yanayofanana na ya wenzao wa miaka iliyopita kwa kuwa mfumo uliotumika mwaka 2012 katika kupanga matokeo na madaraja ni tofauti na ule uliotumika mwaka 2011 na miaka iliyotangulia.Kwa kuzingatia mapendekezo ya Tume na Maelekezo ya Baraza la Mawaziri, Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, kwar mamlaka aliyonayo chini ya Sheria ya Baraza la Mitihani Tanzania, kifungu cha 20, sura 107 ameliagiza Baraza la Mitihani la Taifa kupitia upya Matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2012.

Aidha, imeagizwa kwamba matokeo hayo yaandaliwe kwa kutumia utaratibu uliotumika mwaka 2011. Serikali haikuagiza kufanyika upya kwa mitihani hiyo na wala haikuagiza kusahihishwa upya.

Hivyo, Serikali inapenda kuwahakikishia wananchi kwamba hapatakuwa na zoezi la kurudia usahihishaji wa mtihani huo kwa sababu hakuna dosari zilizobainishwa kwenye usahihishaji wa mitihani hiyo.

Alama za watahiniwa ambazo zimehakikiwa zipo tayari, kitakachofanyika ni kwa Baraza la Mitihani kutumia alama hizo kuchakata matokeo upya kwa kutumia viwango vya ufaulu vilivyotumika mwaka 2011.


Utaratibu ambao umekuwa ukitumika tangu mwaka 1973 wakati Baraza lilipoanzishwa, ni wa kuweka viwango vya ufaulu kila mwaka kwa kuzingatia ufaulu wa somo husika na ufaulu katika mwaka uliotangulia.

Kutokana na maelezo hayo, ni dhahiri kuwa zoezi la kupitia upya matokeo ya Kidato cha Nne 2012 litachukua muda mfupi na matokeo yatatangazwa hivi karibuni.

Selestine GesimbaSelestine Gesimba

KAIMU KATIBU MKUU
WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO
YA UFUNDI
10/05/2013

PONDA AANZA UCHOCHEZI TENA....ANATAKA SERIKALI IANZE KUUA WAKRITO NA AMEDAI NECTA HUWAFELISHA WAISLAMU


Wakizungumza kwenye msikiti wa mtambani Kinondoni mara baada ya swala, Sheikh ponda na ustaadh mukadam  wameapa kupambana hadi dakika ya mwisho. 
Mukadam amemsifia Allah kwa kuwapa adhabu ya ugonjwa,watu kadhaa akiwemo  mkubwa mmoja  alie mahututi Afrika kusini(wanadai  eti alihusika kuwatengenezea mashtaka),na afisa mwingne wa jeshi kufarik ajalini baada ya kuwanyanyasa selo!
KAULI ZA SHEIKH PONDA.

Alitamka  kuwa :"Nitapambana hadi mwisho' huku watu wakisema takbir alah akbar! Amesema Wakristo wanapendelewa na serikali. Serikali ilisema aliekojolea kuran ni mtoto,wakati yeye kawakuta watoto jela akiwemo wa miaka 10,aliyekwapua mkoba.,ila yule mkristo wa miaka 14 serikali ilisema mtoto na haikumchukulia hatua zozote!


Pia kasema ana CD zikionyesha jinsi serikali inavyoua na kupanga kukandamiza uislamu. Kampongeza sana Zitto kabwe kwa mchango wake wa kutetea uislamu bungeni na kamponda yule aliepeleka cd alizoita za uchochezi bungeni! 


Karudia tuhuma za kuwa NECTA kuna udini na Waislamu wanafelishwa! Kasema serikali inapendelea na kuendeshwa na wakristo. Pia kuhusu bomu la Arusha kasema, wamekamatwa waarabu ,mbona hawajakamata wazungu? Anasema huo ni mpango wa kuonea waarabu na uislamu!

Ponda  kasema wakristo hajawahi kuuawa na serikali,ila waislamu tu ndo wanauawa! Mwembechai waliuawa, Pemba waliuawa. Anadai hata Pemba Waislamu waliuawa na serikali ikitumwa na Kanisa!
Amehoji,mbona hatujawahi kusikia mchungaj au padri kauawa?kasema pemba kuna helcopter zilikua zinalipua majahazi ya waislamu(wakiwa baharini) wakati wanakimbilia Mombasa naTanga.!

Pia kasema,nchi hii hakuna udini,ila kuna mapambano ya waislamu kudai haki zao na redio iman imefungiwa kuwaonea waislamu wasipate pakusemea


PREZZO ALINASA PENZI LA LOVENESS DIVA

Huenda  watangazaji wa kike wa Clouds FM humchanganya sana, Prezzo. ...

Kama unakumbuka aliwahi kudai kuwa hasemi wala haongei kwa uzuri wa Dj Fetty. 
Na sasa habari  za  kitaa ni kwamba jicho la rapper huyo mwenye asili ya Kenya na Tanzania limetua kwa mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho, Loveness Diva. Wiki iliyopita, Diva alimwalika Prezzo kwenye show yake na huenda ukaribu huo uliongezeka zaidi siku hiyo.

Kwa mujibu wa You Heard ya Clouds FM, Diva na Prezzo ni item.

“Diva siwezi kumwachia bwana, nimwachie nichekwe,” alisema Prezzo. 
 
“Bado mahari tu mshkaji wangu inatoka kutoka Mwanza. Only time can tell, nikikuambia sasa hivi ukweli wangu ntamaliza uhondo. Inaitwa yaani love at first sight, Diva mwenyewe umeshamwona, she is classy yaani she is beautiful,” alisisitiza Prezzo ambaye jina lake ni Jackson Makini.
 
Hata hivyo Diva amekanusha kwa kudai kuwa yeye na Prezzo ni marafiki tu.

sikiliza hapaclick here to listen




MTOTO WA MIAKA 9 AUAWA KWA KUPIGWA RISASI NA POLISI HUKO TARIME

 
Polisi mkoani Tarime wameua mtoto wa miaka 9, Deo Yakob, katika kilichoripotiwa kuwa pilikapilika za kukamata majambazi wanaoiba na kuua watu mpakani mwa Tanzania na Kenya.
 
Bado hakuna maelezo zaidi, kuhusu ni kitu kani kilichopelekea mtoto huyo kuuawa katika juhudi za polisi kukamata majambazi hayo. Pia haijafahamika kama polisi hao walifanikiwa  kuwakamata majambazi...
 
Pichani ni wananchi wakiwa na mwili wa mtoto huyo ambaye alikua ni mwanafunzi wa darasa la tatu katika shule ya msingi ya Mturu, mjini Tarime.

WASANII WA BONGO TUNANYANYASWA"....VICENT KIGOSI

 
STAA wa filamu za Kibongo, Vincent Kigosi ‘Ray’ amelipuka na kudai kuwa wasanii wa filamu wa Tanzania wanakandamizwa sana na wasambazaji.

Akizungumza na mwandishi wa habari  hii katika mahojiano maalum, Ray alisema: “Kama nitakuwa sijajifunza kitu kutokana na msiba wa Kanumba (Steven) nitakuwa mjinga. Kama utakumbuka, kwenye mazishi yake  serikali nzima ilikuwa pale, umati mkubwa wa watu ulifurika, kwa nini? Kwa sababu ya thamani yake.
“Msambazaji aliye ‘serious’ ni mmoja kwa sasa na yeye ndiye anayeamua cha kufanya na kwa sababu wasanii tupo wengi, hatuna jinsi. Ukiingia naye mkataba unakuwa umeuza haki ya maisha yako yote. Anakuwa na uhuru wa kupeleka DSTV, Zuku na Channel nyingine zozote bila kukulipa chochote.
 
“Lakini mimi siwezi kutupa lawama kwa serikali maana tumeshaongea sana. Nawaomba wadau wajitokeze wawekeze kwenye tasnia yetu maana inapanuka na ina soko kubwa ila msambazaji yupo mmoja tu ndiyo maana tunanyonywa.”

HAYA NDO MAJINA 9 YA WATUHUMIWA WALIOLIPUA BOMU KANISANI ARUSHA

Inaripotiwa kuwa jumla ya watu 12 wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Arusha kwa kutuhumiwa kuhusika na mlipuko wa bomu lililorushwa katika eneo la Kanisa la Mt Joseph Mfanyakazi katika parokia teule ya Olasiti siku ya Jumapili, Mei 5, 2013 na kusababisha vifo vya watu watatu na kujeruhi wengine zaidi ya 60.

Ripota wa WAPO FM radio alisema majina ya watuhumiwa hao yametajwa kuwa ni:-


  1. Victor Ambrose Calist (20, mkazi wa Kwa Mrombo, Arusha)
  2. Joseph Yusuph Lomayani (18, mkazi wa Kwa Mrombo, Arusha)
  3. George Bartholomeo Silayo (26, mkazi wa Olasiti, Arusha)
  4. Mohammed Suleiman Said (38, mkazi wa Ilala, Dar es Salaam, aliyewafuata kwa gari binafsi washukiwa wa ugaidi kutoka kiwanja cha ndege na kuwepeleka hadi hoteli ya Aquiline iliyopo Arusha)
  5. Said Abdallah Said (28, mkazi wa Abu Dhabi, Nchi za Falme za Kiarabu)
  6. Abdelaziz Mubarak (30, Nchi za Falme za Kiarabu)
  7. Jassini Mbaraka (29 mkazi wa Bondeni, Arusha)
  8. Foud Ahmad (28, Nchi za Falme za Kiarabu)
  9. Said Mohsen (Najran, Saudi Arabia)

Hata  hivyo, himaya ya Imarati, Nchi za Falme za Kiarabu (UAE - United Arab Emirates)  inasema maafisa wake wamekanusha kuhusu raia wake watatu kuhusika na mlipuko wa bomu la Olasiti, Arusha.

Monday 6 May 2013

NAY WA MITEGO AFANANISHWA NA DEM....CHID BENZ AMTUNGIA JINA NA KUMUITA " NEEMA WA MITEGO"

Ugomvi  wa  chini chini kati   ya Chid benz  na  Ney wa  mitego  sasa  umefikia  pabaya.....
Juzi  Ney wa mitego  alionja  kichapo  toka  kwa  mashabiki  katika  show  yake  mbagala....Inadaiwa  kwamba Varangati hilo   lilitokana  na  madai  yake  kwamba   Chid  benz  ni  shoga  na  ametoboa  pua  kama  dem.... 
Mapema mchana huu Chidi Benz amefunguka kupitia ukurasa wake ya Facebook   na  kumtaka  NEEMA  WA  MITEGO(Neema ni jina la  kike aache  kumtukana  wala  kumwandika  message  zozote.....Vinginevyo  ataendelea  kuambulia  kichapo
Hii ni post yake

MAHAKAMA YA RUFAA YAMREJESHEA "AESHI HILALY" UBUNGE WA SUMBAWANGA MJINI

 

















Mahakama ya Rufaa imemrejeshea ubunge aliyekuwa mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aeshi Hilaly  (CCM)baada ya kung'amua mapungufu ya kisheria katika maamuzi ya Mahakama Kuu iliyokuwa imemnyang'anywa kiti hicho.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali aliiomba Mahakama ya Rufaa kumrudishia ubunge Hillaly akisema hakuna uthibitisho kwamba alihusika kutoa rushwa wala kufanya vurugu katika kampeni za uchaguzi za mpinzani wake.

Akimwakilisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wakili wa Serikali Mkuu, Michael Luena akishirikiana na Wakili wa Serikali, Karim Rashid waliomba mahakama itengue hukumu iliyotolewa na Jaji Bethuel Mmila wa Mahakama Kuu, Kanda ya Sumbawanga ambayo ilimuondoa madarakani Aeshi.

Aprili 30 mwaka jana, Jaji Mmila alitengua matokeo ya uchaguzi yaliyompa ushindi Aeshi kutokana na kesi iliyofunguliwa na aliyekuwa mgombea ubunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya CHADEMA, Norbet Yamsebo.

“Waheshimiwa majaji tuna hoja 10 za kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama Kuu Sumbawanga... katika hoja hizo tutaangalia mambo matatu ambayo yanahusu dhamana ya kufungulia kesi ya uchaguzi, kuwapo vurugu wakati wa kampeni na kuwapo rushwa,” alidai Luena.

  
Akiwasilisha hoja ya kuwekwa kwa dhamana ya kufungulia kesi kama sheria inavyoelekeza, Wakili Karim alidai kuwa Yamsebo hakuweka dhamana hiyo hivyo anaiomba Mahakama ya Rufani itengue aumuzi uliotolewa wa Mahakama Kuu katika kesi ya uchaguzi.

Kuhusu hoja ya vurugu, Luena alidai kulikuwa na mkanganyiko mkubwa katika ushahidi wa mashahidi wa mlalamikaji (Yamsebo), ambako wengine walidai mkutano wa kampeni ulifanyika lakini wengine walidai haukufanyika kwa sababu ya vurugu.


Friday 3 May 2013

JB AWEKA WAZI MKOA ATAKAOGOMBEA UBUNGE 2015

 HATIMAYE nguli wa sanaa za maigizo Bongo, Jacob Stephen Mbura ‘JB’ amelianika jimbo atakalogombea ubunge mwaka 2015.
JB aliyaongea hayo mwanzoni mwa wiki hii, jijini Dar es Salaam ambapo
alisema macho yake yote yapo Mkoa wa Dar es Salaam ambao una majimbo nane.
JB: Niliposema natangaza kugombea ubunge mwaka 2015 wengi waliamini ni maneno tu, lakini nia yangu ni sahihi. Nitagombea na leo nasema jimbo langu lipo Mkoa wa Dar es Salaam.
Aliongeza kuwa, jimbo atakalogombea litaendelea kubaki kuwa siri ya moyo wake na meneja wake wa kampeni ambaye hakupenda kumtaja jina.
Majimbo yanaounda mkoa wa Dar es Salaam katika uwakilishi bungeni ni Ukonga, Ilala, Kinondoni, Segerea, Kawe, Kigamboni, Ubungo na Temeke.
Kiukweli umefika wakati sasa wakurudisha fadila kwa mashabiki wangu nahitaji kuwatumikia  kwani na amini nikifanya hivyo hata kwa mungu nitapata baraka alisema msanii huyo mwenye mashabiki wengi sana
Jb aliendelea kuieleza thesupestarstz kuwa kugombea kwake ubunge kunaenda sambamba na hali halisi anayoiona kwa wananch watanzania na kuongeza kuwa sasa tunatakiwa kuwa na hofu ya mungu kwa wananch wetu wanaotuchagua kwa kura nyingi wakiamini wamepata mkombozi matokeo yake wewe unawageuka ki ukweli inauma sana.
Thesuperstarstz imeongea na baadh ya wasanii wenzake kutaka kujua wanalichukuliaje swala hilo ambapo wengi wameonyesha kumkubali jb na kusema kama atafanikiwa kuwa mbunge basi utakuwa ni wakati mzuri sasa kwa wasanii kupata mkombozi

MARRIED OR NOT, YOU SHOULD READ THIS ...

MARRIED OR NOT, YOU SHOULD READ THIS ...
“When I got home that night as my wife served dinner, I held her hand and said, I’ve got something to tell you. She sat down and ate quietly. Again I observed the hurt in her eyes.


Suddenly I didn’t know how to open my mouth. But I had to let her know what I was thinking. I want a divorce. I raised the topic calmly. She didn’t seem to be annoyed by my words, instead she asked me softly, why?

I avoided her question. This made her angry. She threw away the chopsticks and shouted at me, you are not a man! That night, we didn’t talk to each other. She was weeping. I knew she wanted to find out what had happened to our marriage. But I could hardly give her a satisfactory answer; she had lost my heart to Jane. I didn’t love her anymore. I just pitied her!
With a deep sense of guilt, I drafted a divorce agreement which stated that she could own our house, our car, and 30% stake of my company. She glanced at it and then tore it into pieces. The woman who had spent ten years of her life with me had become a stranger. I felt sorry for her wasted time, resources and energy but I could not take back what I had said for I loved Jane so dearly. Finally she cried loudly in front of me, which was what I had expected to see. To me her cry was actually a kind of release. The idea of divorce which had obsessed me for several weeks seemed to be firmer and clearer now.

The next day, I came back home very late and found her writing something at the table. I didn’t have supper but went straight to sleep and fell asleep very fast because I was tired after an eventful day with Jane. When I woke up, she was still there at the table writing. I just did not care so I turned over and was asleep again.

In the morning she presented her divorce conditions: she didn’t want anything from me, but needed a month’s notice before the divorce. She requested that in that one month we both struggle to live as normal a life as possible. Her reasons were simple: our son had his exams in a month’s time and she didn’t want to disrupt him with our broken marriage.

This was agreeable to me. But she had something more, she asked me to recall how I had carried her into out bridal room on our wedding day. She requested that every day for the month’s duration I carry her out of our bedroom to the front door ever morning. I thought she was going crazy. Just to make our last days together bearable I accepted her odd request.

I told Jane about my wife’s divorce conditions. . She laughed loudly and thought it was absurd. No matter what tricks she applies, she has to face the divorce, she said scornfully.

My wife and I hadn’t had any body contact since my divorce intention was explicitly expressed. So when I carried her out on the first day, we both appeared clumsy. Our son clapped behind us, daddy is holding mommy in his arms. His words brought me a sense of pain. From the bedroom to the sitting room, then to the door, I walked over ten meters with her in my arms. She closed her eyes and said softly; don’t tell our son about the divorce. I nodded, feeling somewhat upset. I put her down outside the door. She went to wait for the bus to work. I drove alone to the office.

On the second day, both of us acted much more easily. She leaned on my chest. I could smell the fragrance of her blouse. I realized that I hadn’t looked at this woman carefully for a long time. I realized she was not young any more. There were fine wrinkles on her face, her hair was graying! Our marriage had taken its toll on her. For a minute I wondered what I had done to her.

On the fourth day, when I lifted her up, I felt a sense of intimacy returning. This was the woman who had given ten years of her life to me. On the fifth and sixth day, I realized that our sense of intimacy was growing again. I didn’t tell Jane about this. It became easier to carry her as the month slipped by. Perhaps the everyday workout made me stronger.

She was choosing what to wear one morning. She tried on quite a few dresses but could not find a suitable one. Then she sighed, all my dresses have grown bigger. I suddenly realized that she had grown so thin, that was the reason why I could carry her more easily.

Suddenly it hit me… she had buried so much pain and bitterness in her heart. Subconsciously I reached out and touched her head.

Our son came in at the moment and said, Dad, it’s time to carry mom out. To him, seeing his father carrying his mother out had become an essential part of his life. My wife gestured to our son to come closer and hugged him tightly. I turned my face away because I was afraid I might change my mind at this last minute. I then held her in my arms, walking from the bedroom, through the sitting room, to the hallway. Her hand surrounded my neck softly and naturally. I held her body tightly; it was just like our wedding day.

But her much lighter weight made me sad. On the last day, when I held her in my arms I could hardly move a step. Our son had gone to school. I held her tightly and said, I hadn’t noticed that our life lacked intimacy. I drove to office…. jumped out of the car swiftly without locking the door. I was afraid any delay would make me change my mind…I walked upstairs. Jane opened the door and I said to her, Sorry, Jane, I do not want the divorce anymore.

She looked at me, astonished, and then touched my forehead. Do you have a fever? She said. I moved her hand off my head. Sorry, Jane, I said, I won’t divorce. My marriage life was boring probably because she and I didn’t value the details of our lives, not because we didn’t love each other anymore. Now I realize that since I carried her into my home on our wedding day I am supposed to hold her until death do us apart. Jane seemed to suddenly wake up. She gave me a loud slap and then slammed the door and burst into tears. I walked downstairs and drove away. At the floral shop on the way, I ordered a bouquet of flowers for my wife. The salesgirl asked me what to write on the card. I smiled and wrote, I’ll carry you out every morning until death do us apart.

That evening I arrived home, flowers in my hands, a smile on my face, I run up stairs, only to find my wife in the bed -dead. My wife had been fighting CANCER for months and I was so busy with Jane to even notice. She knew that she would die soon and she wanted to save me from the whatever negative reaction from our son, in case we push through with the divorce.— At least, in the eyes of our son—- I’m a loving husband….

The small details of your lives are what really matter in a relationship. It is not the mansion, the car, property, the money in the bank. These create an environment conducive for happiness but cannot give happiness in themselves.

So find time to be your spouse’s friend and do those little things for each other that build intimacy. If you are not in a relationship now, remember this for the second (or third) time around. It's never too late.

If you do, you just might save a marriage. Many of life’s failures are people who did not realize how close they were to success when they gave up.






HEART TOUCHING LOVE STORY

A Boy proposed his Girl-friend for Marriage..;
Girl: Tell me..; who do you love most in this world..?
Boy: You, of course!
Girl: what am I to you?
Boy: The boy thought for a moment and looked intently in her eyes and said
“You are missing part of my heart”.

She smiled, and she accepted his proposal.
 
 
After their wedding, the couple had a sweet and happy life for a while. However, the youthful couple began to drift apart due to the busy schedule of life and the never-ending worries of daily problems, their life became difficult.
All the challenges posed by the harsh realities of life began to drift away deir dreams and love for each other. The couple began to have more quarrels and each quarrel became make their relation more worst.
One day, after the quarrel, the girl ran out of the house. 
At the opposite side of the road, she shouted,
”You don’t love me...!!!”
The boy hated her childishness and out of impulse, said,
"May be, it was a mistake for us to be together..!!!"
You were never the missing part of my ____!!!”
Suddenly, she turned quiet and stood there for a long, while She regretted what he said but words spoken cant be taken back.
With tears in her eyes, she went home to pack her things and Before leaving the house, she left a note for him..;
“If I’m really not the missing part of your love, let me go and search for some one who is..… 
It is less painful this way… let us go on our separate ways and search for our own partners…!!”
Five years went by....
He never remarried but he had tried to find out about her life indirectly. She had left the country and was living her dreams.
He use to regret on what he did but never tried to bring her back. In the dark and lonely night, he lit his cigarette and felt the lingering ache in his heart. He couldn’t bring himself to admit that he was missing her.
One day, they finally met, At the airport, He was going away on a business trip. He saw her, She was standing there alone, with just the security door separating them.
She smiled at him gently.
Boy: How are you..?
Girl: I’m fine. How about you.., Have you found your heart’s missing part…?
Boy: No.
Girl: I’ll be flying to New York in the next flight.
Boy: I’ll be back in 2 weeks time. Give me a call when you are back, You know my number, Nothing has changed.
With a smile, she turned around and waved good-bye.
“Good-bye . . .”
Same evening he heard of a plane crash which was headed to New York. He tried to know about her and found that, She died.
Midnight... Once again, he lit his cigarette... And like before, he felt the lingering ache in his heart. He finally knew, she was that missing part that he had carelessly broken...!!!
"Sometimes, people say things out of moments of fury.
We take out our 99% frustrations at our loved ones, And even though we know that we ought to”think twice and act wisely”, we actually don’t do it. Things happen each day, many of which are beyond our control."

Lulu aliwakia gazeti la udaku kwa habari za uongo

Baada ya Batuli, Lulu naye aliwakia gazeti moja la udaku kwa habari za uongo! Soma zaidi...

 Baada ya Batuli, Lulu naye aliwakia gazeti moja la udaku kwa habari za uongo! Soma zaidi...

Katika kile kinachoonekana kukerwa na vitendo vya vyombo vingi vya habari hususani magazeti ya kadhaa ya udaku yanoyochapisha habari za uongo kuhusu wasanii wa bongo movies kwa ajili ya kuuza magazeti yao, hatimaye msanii Elizabeth Michael  “lulu”naye ameamua kuyaweka wazi ya moyoni mwake bila kuficha baada ya gazeti  moja pendwa (Jina tunalihifadhi) kuchapisha habari iliyopew kichwa kisemacho “Lulu, wema, Diamond afya mgogoro”ambayo imeonekana dhahiri kumkera mrembo huyu na kuamua kaundika haya yafuatayo kwenye ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii.

“..Imekuwa ni kawaida ya mtu kujisikia kusema chochote...muda mwingine mnaweza mkahisi hatuoni au mkahisi kukaa kwetu kimya ni wajinga!!mm kama mm napenda kuwajulisha kuwa LULU mliyekuwa mnamjua sio LULU wa ss...msitegemee kusikia nabisha au kupigizana kelele...fanyeni kazi yenu lakini sio kuchafuana na kuipotosha jamii....!!!nadhani kimya changu kina majibu mengi.. Lulu anakuwa msanii wa pili kwa kipindi cha wiki mbili kukasirika hadharani baada ya mwanadada batuli kulaani kitendo cha gazeti moja la udaku kuandika habari za uongo kuhusu yeye.

 

 

Mfanyabiashara kariakoo ajirusha toka Ghorofa ya tisa na kuangukia Gari

b1[1]
Mtu huyo amekimbizwa hospitali na haijafahamika bado kama amefariki au bado yu hai.
Mfanyabiashara huyo alijirusha toka ghorofani na kuangukia Gari aina ya Toyota Corolla ambayo ni taxi iliyokuwa imepaki nje ya hoteli hiyo. Chanzo cha kujirusha kwa mfanyabiashara huyo bado hakijafahamika mpaka sasa.
Mashuhuda wa tukio hilo lililotokea muda mfupi uliopita, wanaeleza kuwa walipatwa na mshuko baada ya kusikika kishindo cha kitu kilichokuwa kimeangukia gari hilo na waliposogea kushuhudia ndipo walipobaini kuwa alikuwa ni mtu huyo alietambulika kwa jina moja la Shirima.