Saturday 27 April 2013

AMALI JIJINI ARUSHA

SAM_0651Pichani ni wafanyakazi wa kampuni Afrikan Barrik wakiwaonyesha wananchi jinsi ya okoaji wakiwa kwenye maeneo yao ya kazi migodini kwenye maonyesho yanayoendelea kwenye viwanja vya sheikh Amri Kaluta Abeid jijini Arusha kwa siku Tatu yakiwa ni mwengelezo wa warsha ya mamlaka ya usalama mahala pa kazi(OSHA)  SAM_0661 SAM_0669 SAM_0672 SAM_0676Banda la wauzaji wa dawa kutoka china kampuni ya TIENS ambao nao walishiriki katika maonyesho yaliondaliwa na mamlaka ya usalama mahala pa kazi OSHA wakionyesha bidhaa wanazouza kwenye maonyesho hayo huku wakiwataka wananchi wafike ofisini kwao jengo la KKKT jijini hapa kupata bidhaa zao na pichani ni muuzaji wa dawa hizo bi Beatrice Kiimbi kama alivyokutwa na kamera yetu kwenye uwanja wa sheikh Amri Abeid jijini Arusha. George Alando meneja usalama na afya wa kampuni ya Layne Driling ya jijini Morogoro akiwa na mwenzake kwenye banda lao wakati wa maonyesho ya usalama mahala pa kazi yanayoendelea jijini Arusha na yatafunguliwa na waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Peter Pinda siku ya jumapili ambayo itakuwa ni siku ya ukoaji mahala pa kazi SAM_0680
SAM_0678
George Alando meneja usalama na afya wa kampuni ya Layne Driling ya jijini Morogoro akiwa na mwenzake kwenye banda lao wakati wa maonyesho ya usalama mahala pa kazi yanayoendelea jijini Arusha na yatafunguliwa na waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mizengo Peter Pinda siku ya jumapili ambayo itakuwa ni siku ya ukoaji mahala pa kazi. Picha zotE na Mahamoud Ahmad Arusha

No comments:

Post a Comment