Sunday 28 April 2013

Wanaume huvutiwa kufanya mapenzi na rafiki za wake zao




Tafiti nyingi duniani zimegundua kuwapo na msukumo na mhemko wa tamaa za ngono kwa wanaume. Majibu kadha wa kadha ya tafiti hizo yamekuwa yakitoa majibu sawa, ikiwemo suala la maumbile ya mwanamume na namna anavyompokea mwanamke yoyote machoni pake.

Rafiki yangu wa karibu niliyempokea na kumtafutia kazi nchini Marekani alinisaliti kwa kutembea na mume wangu,” anaanza kwa kusema Christina Edward (34) (siyo jina lake kamili) Mtanzania anayeishi katika Jimbo la Houston Texas nchini Marekani. Christina anasema haikumuwia rahisi kung’amua tukio hilo la aibu, mpaka alipotonywa na jirani yake ambaye hakuwa na ukaribu naye. “Jirani yangu aliwaona, akanipa taarifa za usaliti huo. Nilifuatilia kwa muda mrefu na kuwakuta wakiwa katika flat (nyumba) anayoishi rafiki yangu huyo iliniuma sana, mpaka leo siweziRead more


No comments:

Post a Comment